|
KISONGO ACADEMIC COLLEGE
JOINING INSTRUCTION:
MAAGIZO YA KUJIUNGA NA SHULE MWAKA 2012;
( Kac secondary school namba ya shule ya usajili ni S.4180 na Senta namba ya mitihani ya kitaifa ya (NECTA) ni S.4154.)
Kwa niaba ya wanajumuiya wote wa shule na kwa niaba yangu binafsi nakupongeza kwa nia yako ya kujiunga na Kac secondary School kwa masomo ya Sekondari ,O’Level na A’Level kwa kipindi cha miaka minne/Sita kuanzia tarehe 10/01/2012. Kama utafanikiwa kuchaguliwa na kujiunga nasi, basi maagizo yafuatayo yatakueleza mambo muhimu kama:
1.0 Kufika shuleni:
1.1 Unatakiwa kuripoti shuleni tarehe 10/01/2012 bila kukosa , kwa wanafunzi wote wa bweni kabla ya saa kumi na moja jioni.
1.2 Shule yetu ipo kilomita 13 kutoka mjini Arusha.Ufikapo stendi ya mabasi Arusha ulizia mabasi yaendayo Kisongo stendi unapaswa kumkumbusha kondakta akushushie kisongo stendi ,hapo utaona kibao kinachokuelekeza njia ya miguu ya kufika (kac secondary School), nauli ni T.sh 400 mtu mzima na mwana funzi ni Tsh.200 kutoka mjini.
1.3 Ikiwa unaikubali nafasi hii itakubidi kujaza fomu ya ahadi, mwanafunzi Mzazi /Mlezi (SP-22) iliyoambatanishwa na kurudisha shuleni mapema. Kisha ulipe ada inayotakiwa kabla ya kuanza masomo. ADA IKISHALIPWA HAIRUDISHWI WALA HAIWEZEKANI KUHAMISHIWA KWA MWANAFUNZI MWINGINE.
1.4 Unatakiwa kuripoti shuleni kwa muda usiozidi wiki moja (Siku 7)Kuanzia tarehe ya kufungua shule iliyotajwa hapo juu.Baada ya muda wa kuripoti shuleni kupita nafasi yako itatolewa kwa mwanafunzi mwingine.
2.0 Mihula
2.1 Mihula ya mwaka 2012. Shule itakuwa na mihula mitatu kwa mwaka 2012
(i) Muhula wa kwanza 2012 utaanza tarehe 11/01/2012 hadi tarehe 11/04/2012
(ii) Muhula wa pili utaanza tarehe 21/04/2012 hadi 31/07/2012
(iii) Muhula wa tatu utaanza tarehe 01/09/2012 hadi 03/12/2012
2.2 Mapumziko ya shule 2012
(i)Siku zote za sikukuu zinazotambulika KITAIFA
2.3 Likizo za wanafunzi
(i)Tarehe 11/04/2012 hadi 21/04/2012
(ii)Tarehe 31/07/2012 hadi 1/09/2012
(iii)Tarehe 3/12/2012 hadi 10/01/2012
3.0 ADA
KWA MAELEZO ZAIDI SOMA UKURASA NAMBA 7.
3.2 Wanafunzi wa kutwa:- (KIKE +KIUME) HATUPOKEI WANAFUNZI WA KUTWA .
3.3 Ada ya tahadhari(caution money) .
Tshs 30,000/= Italipwa na kila mwanafunzi mara tu atakaporipoti shule na kiasi hiki hakirudishwa pale mwanafunzi amalizapo shule .
3.3.1 Kila mwanafunzi atalazimika kuchangia vitabu viwili vya Secondary kwa mwaka,
Wastani wa (T.sh 13,000) ili kuidumisha maktaba ya shule.Mchango huu ni kwa muhula wa kwanza na wa pili tu.
3.4 Kinga ya vitabu Tshs 15,000/= Italipwa na wanafunzi wote kiwango hichi kitarudishwa pale mwanafunzi anapohama,au kumaliza kidato cha nne,hii ni kuzuia uharibifu,na wizi wa vitabu vya maktaba.
3.5. Kartasi kumi (10) za chooni ‘Toilet paper’ kwa mwaka kila mwanafunzi anahitajika kuwasilisha shuleni muhula unapoanza Januari.
4.0 Ulipaji wa Ada:
Mzazi/Mlezi unashauriwa usilete fedha taslimu za ada shuleni. Ada ya shule ilipiwe kupitia Benki kama ifuatavyo:-
4.1 Kwa wale Wazazi/Walezi walioko Arusha Tafadhali lipa Kenya Commercial Bank (T) Ltd iliyoko Arusha karibu na Kanisa la kiinjili la kilutheri mjini kati akaunti namba No.0221700181 Wale wa Dar es Salaam walipie Kenya Commercial Bank (T) Ltd Uhuru road.
4.2 Wale wa Mwanza walipie Kenya Commercial Bank (T) Ltd Mwanza
Co-operative Union Building. Pia kumbuka kuandika jina la mwanafunzi na namba yake ya usajili ya shule.
5.0 Wazazi/Walezi wenye wanafunzi wa bweni wanashauriwa kuwapa watoto wao fedha kiasi cha matumizi kama kununua sabuni,kalamu,dawa ya meno n.k.Wanafunzi wote wanashauriwa kuweka fedha zao za matumizi katika Ofisi ya Msarifu wa shule. Ni marufuku mwanafunzi kuweka fedha zake za matumizi bwenini,shule haitahusika na upotevu wowote.
6.0 Vitambulisho/Nembo
6.1 Kila mwanafunzi anapaswa kuwakilisha Tshs 2000/= kwa ajili ya kitambulisho cha uanafunzi.
6.2 Aidha ni lazima apigwe picha za passport size akiwa amevaa sare ya shule kwa ajili ya kumbukumbu za Ofisi. Picha hizo zitapigwa bure shuleni.
6.3 Pia kila mwanafunzi alipie nembo tatu (3) kwa ajili ya Nembo za shule pamoja na tai ya shule. Zote ni kwa Tshs 2000/=
7.0 Chakula
Chakula kitatolewa kwa wanafunzi wote , na chakula kikuu kitakuwa ugali, wali, makande na maharagwe kama kuna mabadiliko, basi ratiba ya chakula itatolewa siku za jumatatu, kwa wiki yenye mabadiliko. Hali itakoporuhusu matunda ya msimu yatatolewa wakati wa chakula cha mchana au jioni.
8.0 Tovuti – Website.(http:// www.kisongocollege.com)
Tovuti ya shule itakuwa ni chombo muhimu cha kuitangaza shule, kutoa elimu, matangazo na maelekezo mengine muhimu ya shule.Kila mwanajumuiya wa shule atapata anuani binafsi ya –email katika tovuti hiyo.
9.0 Vifaa vya darasani:
-Daftari kubwa zisizopungua 12,vifaa vya hisabati;Mathematical Set,’English Dictionary’ au kamusi ya kiingereza, mathematical log book.
-Kalamu za wino na rangi (pencil) za kutosha , rula , na vifaa vingine muhimu.
10.0 Kuhudhuria Masomo:
Kila mwanafunzi anatakiwa kuhudhuria vipindi vya masomo yote yanayotolewa shuleni na kufanya mazoezi darasani na mitihani yote.Wanafunzi watakaoshwindwa kufuata sharti hili watarudishwa nyumbani.
11.0 Mahitaji/maelezo binafsi:
11.1 Mavazi nadhifu na ya heshima yanayoendana na hadhi ya mwanafunzi wa sekondari,shule inayo sare rasmi ambayo hushonwa hapa shuleni.
Sare ya michezo:- wavulana – Bukta rangi ya bluu na T-shirt.Wasichana
kigauni na bukta (P.T shorts)rangi ya bluu na T – shirt. Wote raba au
viatu vya michezo na socks (Stockings) rangi ya bluu.
11.2 Kwa wanafunzi wa bweni wanahitaji vazi la baada ya shule nalo
hushonwa shuleni. ZINGATIA: Nguo za shule zisizo rasmi ni marufuku
shuleni, kwa siku yoyote na wakati wowote, epuka usumbufu usilete nguo
hizo kabisa.
11.3 Viatu vyeusi vya kudumbukiza kwa wasichana na wavulana viatu vyeusi
Pia.
11.4 Vifaa vya kulalia: Godoro la kawaida futi 3 urefu, na kina inchi 4 Shuka
2 na chandarua cha kujikinga na mbu pamoja na blanketi . kumbuka kuwa
Arusha ni baridi majira ya jioni.
11.5 Vifaa vya chakula:Sahani, kijiko, na bakuli,
tafadhali mwanao aje na kiasi cha Tsh.4000 ili vyombo hivyo avipate hapa shuleni.
11.6 Picha passport size 3 zitapigwa shuleni bure.
11.7 Vifaa vya kazi za kuboresha mazingira: ndoo 1 ya ujazo wa lita 20,
jembe,slesha.
11.8 Kamusi ya ki-ngereza,[Oxford Dictionary],na ya Ki-swahili, ukipata na
ya ki-faranza ni Vyema sana.
11.9 Rimu nzima ya kartasi nyeupe ya [Top Kopie -A4]. Moja kila muhula.
12.0 Afya
12.1 Unalazimika kupimwa na daktari katika hospitali yoyote ya Serikali utokako Kuthibitisha afya yako ya kumudu masomo haya.
Nimeambatanisha fomu (MED/CERT -21) ya kupimwa utakayoiwasilisha
shuleni wakati wa kuripoti.
12.2 Shule haitoi chakula maalum (Special diet) kabisa.
12.3 Shule itatoa matibabu ya huduma ya kwanza matatizo yote ya dharura
katika Zahanati ya Serikali Kata ya Kisongo na Seliani zote za Kisongo
na wazazi wataarifiwa ili kuchangia.
13.0 Tahadhari
13.1 Uje na sanduku imara kwa ajili ya kuhifadhi nguo na mali zako nyingine kwa wanafunzi wa bweni.
13.2 Huruhusiwi kuja shuleni na vitu vya dhamani kubwa mfano; Simu ya mkononi fedha nyingi n.k
13.3 Uje na anuani kamili ya mzazi./mlezi wako. Iwapo unaye ndugu karibu na shuleni utoe taarifa mapema.
13.4 Uje na fomu hii ukiwa umeambatanisha (i) cheti halisi (Original) cha shule ya msingi.
13.5 Usije shuleni bila cheti hicho kwani hautasajiliwa.
13.6 Shule ina kanuni na sheria ambazo unapaswa kuzielewa na kuzifuata zimeambatanishwa na fomu hii.
13.7 Kama unakubaliana na maelezo yaliyomo kwenye taarifa hii , na sheria za shule kuanzia 12.1 – 12.25. Jaza fomu iliyoambatanishwa na maagizo haya kisha uirudishe shuleni; Itachukuliwa kuwa umeikataa nafasi ya kujiunga na shule hii uliyopewa usipokuja nayo.
15.0 TOKA SHULENI
15.1 Taswira ya KAC ni wito kwa serikali,wananchi wote na wadau wote wa
maendeleo kuwekeza kwenye Elimu bora kwa akili, mali na muda.Kwa wanafunzi
tumia muda vizuri ili ufikie tegemeo na maono (vision).
15.2 Pamoja na maagizo haya ya kujiunga na shule,tunaambatanisha fomu ya
maelezo yako binafsi (SP-19) ambayo unatakiwa kujaza na kurudisha shuleni
kabla ya siku ya mtihani wa kundi la mwisho wa kujiunga na shule ni tarehe
10.January.2012. Uiambatanishe na file itakayohifathiwa ofisini
15.2 Jumuiya ya shule kwa ujumla inakutakia safari njema kuja shule na pia
inakutakia maisha mema na ya mafanikio hapa Kac Secondary School.
Eng. Calvin Marealle,
Meneja na Mkurugenzi.
(Kac Secondary School)
REQUIREMENTS
MUHULA WA KWANZA (1); 2012
|
ADA WANAFUNZI WA KIKE:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIKE)
Muhula I: 2012 |
TICK
280,000 |
ADA WANAFUNZI WA KIUME:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIUME)
Muhula I: 2012
|
TICK
280,000 |
|
Sare :-( KIKE)
Skati na Shati Tsh. 24 ,000
Sweta, Tai Tsh. 20,000
Casual Dress Tsh. 12,000
’Track suit’ Tsh. 35,000
Jumla Tsh. 91,000 |
91,000 |
Sare:-(KIUME)
Suruali na shati Tsh. 24,000
Sweta , Tai Tsh. 20,000
Casual Wear Tsh. 12,000
‘Track Suit’ Tsh. 35,000
Jumla Tsh. 91,000
|
91,000 |
|
Mchango wa chakula Kwa kila muhula. |
50,000 |
Mchango wa chakula Kwa kila muhula. |
50,000 |
|
Ada ya tahadhari(caution money)
|
30,000 |
Ada ya tahadhari(caution money)
|
30,000 |
|
Kinga ya vitabu |
15,000 |
Kinga ya vitabu
|
15,000 |
|
Tsh 13,000 au vitabu viwili vya masomo ya sekondari kwa mwaka. |
13,000 |
Tsh 13,000 au vitabu viwili vya masomo ya sekondari kwa mwaka. |
13,000 |
|
Vyombo vya Chakula |
4,000 |
Vyombo vya Chakula |
4,000 |
|
Kartasi kumi (10) za chooni ‘Toilet paper’ kwa mwaka,
|
3,000 |
Kartasi kumi (10) za chooni ‘Toilet paper’ kwa mwaka,
|
3,000 |
|
Vitambulisho vya shule
|
2,000 |
Vitambulisho vya shule
|
2,000 |
|
Nembo kwa ajili ya kuweka Nembo za shule kwenye sare za shule
|
2,000
|
Nembo kwa ajili ya kuweka Nembo za shule kwenye sare za shule
|
2,000
|
|
JUMLA |
490,000 |
JUMLA |
490,000 |
|
MUHULA WA KWANZA (1) |
490,000 |
|
MUHULA WA PILI (2) |
330,000 |
|
MUHULA WA TATU (3) |
330,000 |
|
JUMLA KWA MWAKA |
1,150,000 |
MUHULA WA 2 (PILI); 2012
|
ADA WANAFUNZI WA KIKE:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIKE)
Muhula II: 2012 |
TICK
280,000 |
ADA WANAFUNZI WA KIUME:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIUME)
Muhula II: 2012 |
TICK
280,000 |
|
Mchango wa chakula |
50,000 |
Mchango wa chakula |
50,000 |
|
JUMLA |
330,000 |
JUMLA |
330,000 |
MUHULA WA 3 (TATU) 2012
|
ADA WANAFUNZI WA KIKE:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIKE)
Muhula II: 2012 |
TICK
280,000 |
ADA WANAFUNZI WA KIUME:
Wanafunzi wa Bweni:-(KIUME)
Muhula II: 2012 |
TICK
280,000 |
|
Mchango wa chakula |
50,000 |
Mchango wa chakula |
50,000 |
|
JUMLA |
330,000 |
JUMLA |
330,000 |
ADMISSION REGISTRATION FORM STUDENT PRIVATE INFORMATION FORM (SP- 19).
SECTION A: INFORMATION ABOUT A STUDENT SEEKING FOR ADMISSION.
1. Names:
|
Date |
Month |
Year |
Village |
District |
Region |
|
|
|
|
|
|
|
2. Birth Particulars:
3. SECTION B: ACADEMIC PERFOMANCE:
3. 1. Previous School Attended:
|
Last Class Attended |
Previous Level |
|
|
|
|
|
|
|
4. Examination, Subjects, And Results Obtained:
4.1. Last Examination held.
|
Type |
Term/Semester/End |
Year |
Region |
|
|
|
|
|
4.2. Subjects and Results:
|
S/N |
Subjects |
Results |
S/N |
Subjects |
Results |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
4.3 Results slip attached No._______________________of:____________________or previous school original results form of_________________________________
4.4. Academic recommendation letter from the previous school dated________________________
|
No.4.1 to 4.3 all forms slips to be attached |
NOTE THESE:
SECTION B: HOME INFORMATION:
1. Father’s Name :-________________________________________________
Address
P.O Box: _________________________________________________ Telephone:________________________________________________
Mobile:___________________________________________________
E-Mail:____________________________________________________
Place Of Residence:-___________________________________________
Occuption:-__________________________________________________
2. Mother’s Name:______________________________________________
Address
P.O Box: __________________________________________________
Telephone:________________________________________________ Mobile:____________________________________________________
E-Mail:__________________________________________________
Place of Residence:-____________________________________________
Occuption:-__________________________________________________
3. Who is going to pay for your school fees at this college?
HIS/HER NAME: _______________________________________________
Address
P.O Box:_____________________________________________________
Telephone:___________________________________________________ Mobile:______________________________________________________
E-mail:______________________________________________________
3.1. What is your relationship with HIM/HER? __________________________
3.2. Parent/Guardian Statement:
The above information No.5.0, 5.1, and 5.2 is correct and its my statement.
Signed by: Name_________________________________________________________
Signature: _______________________ Date:___________________
_ADMIN.REG FORM /SP FORM NO …………… /PRIVATE INFORMATION
4. Student’s Representative:
The above information and Documents are given by me, and I declare that all is true.
Name: _______________________________________________
Signature:____________________ Date:_____________________
4.1. Is your Child suffering from any addicted illness?
Yes,Which_____________________________No._________________________ 4.0. NEXT OF KIN/REPRESENTATIVE:
Name: ___________________________________
P.o Box:_____________________________________ Telephone:_________________________________________ Mobile:___________________________________ Relationship:_______________________________
N.B. In any case at the school your next of Kin should represent your parents/Guardian and not
Any other person.
______________________________________________
ADMIN.REG FORM /SP FORM NO …………… /PRIVATE INFORMATION
4.2. i) Registration Form No:-________________________________________________________
ii) Entry Examination No:- _______________________________________________________
iii) Date of Entry Examination: - __________________________________________________
4.2. Total marks scored.
|
S/N |
Subject |
Score |
Out of |
position |
comments |
|
1. |
|
|
|
|
|
|
2. |
|
|
|
|
|
|
3. |
|
|
|
|
|
|
4. |
|
|
|
|
|
|
5. |
|
|
|
|
|
|
6. |
|
|
|
|
|
|
7. |
|
|
|
|
|
|
8. |
|
|
|
|
|
|
9. |
|
|
|
|
|
|
10. |
|
|
|
|
|
|
11. |
|
|
|
|
|
|
12. |
|
|
|
|
|
|
13. |
|
|
|
|
|
|
14. |
|
|
|
|
|
|
TOTAL |
|
|
|
|
|
4.3. EXAMINATION COMMITTEE:
4.3.1. Selected /Not Selected
4.3.2 Admission granted /Not Granted.
4.3.3 Admission No. 2010/Kac/__________________________
4.3.4. Conditions if any:
ADMIN.REG FORM /SP FORM NO …………… /PRIVATE INFORMATION
|